Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanafunzi wenye ndoto kuu kimuziki Tanzania
The Brothers Band ni kundi chipukizi la muziki linalojumuisha wanafunzi wawili wa moja ya vyuo vikuu nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC, Esther Namuhisa alipotembelea mji wa Mwanza alifanya mazungumzo na vijana hao wenye ndoto za kuboresha muziki wao kupitia elimu wanayoipata.