Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Michael Lukindo: Mitandao ya kijamii Tanzania yawa chanzo cha habari
Miaka ya hivi karibuni sekta ya habari nchini Tanzania imeathiriwa mno na ukuaji wa teknolojia ya digitali, mitandao ya kijamii imekuwa na kasi kubwa sana kupeleka taarifa kuliko redio,bila ya kuzingatia maadili ya taaluma ya habari.