Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Obama atokwa na machozi akimshukuru Michelle
Rais wa Marekani Barack Obama alitokwa na machozi akimshukuru mkewe Michelle kwa mchango aliotekeleza kabla na wakati wa kipindi chake kama rais.
Aidha, amewashukuru mabinti zake Malia na Sasha kwenye hotuba yake ya mwisho kama rais wa Marekani mjini Chicago.