Kwa Picha: Mfalme Akihito wa Japan

Mfalme wa Japan Akihito ameeleza mapenzi yake ya kutaka kung'atuka. Akihutubia taifa hilo kupitia runinga, amesema ana wasiwasi kwamba umri na udhoofu wa afya yake huenda vikamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake.