Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Elon Musk akana magari yake yalitumika kuichunguza China
Mmiliki wa magari ya kieletroniki ya Tesla, Elon Musk amesema atafunga kampuni hiyo iwapo gari zake zilitumika kuichunguza China. Hii ni baada ya jeshi la China kuyapiga marufuku magari ya Tesla kwa madai kwamba gari hizo zilikuwa na camera zilizokuwa zikinasa data.