Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Lady Gaga kuimba wimbo wa taifa kwa hafla ya kumuapisha Joe Biden
Lady Gaga na Jennifer Lopez watatumbuiza katika hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule Joe Biden. Gaga ataimba wimbo wa taifa katika sherehe hiyo tarehe 20 Januari naye Lopez, ambaye pia alimuunga mkono Bwana Biden mwaka jana wakati wa kampeni, ataimba nyimbo e kutumbuiza wageni watakaohudhuria.