Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mchezaji wa kimataifa wa Kriketi Moeen Ali ameambukizwa Covid-19
Mchezaji wa kimataifa wa mchezo wa Kriketi wa England Moeen Ali ameambukizwa Covid -19 ,baada ya kufanyiwa Vipimo akiwa nchini Sri-Lanka na kikosi chake. Kwa sasa atajitenga kwa muda wa siku 10 kulingana na utaratibu wa serikali ya Sri- Lanka. England wapo Sri Lanka kushiriki mchezo wa Kriketi unaoanza Januari 14 , hivyo Moeen Ali huenda akakosa kushiriki.