Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamuziki wa Marekani huenda akafungwa miaka 10 jela
Mwanamuziki wa Rap kutoka Marekani lil wayne huenda akapewa hukumu ya miaka 10 jela baada ya kukiri kumiliki bunduki ya dhahabu pamoja na risasi kinyume cha sheria.
Lil Wayne mwenye umri wa miaka 38 amekiri kuwa na bunduki hiyo wakati alipokuwa akisafiri kuelekea Florida kwa ndege binafsi mnamo Desemba mwaka jana.