Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamuziki maarufu atangaza kumuunga mkono Biden
Mwanamuziki maarufu Jennifer Lopez na mchumba wake Alex Rodriguez wametangaza msimamo wao rasmi wa kumuunga mkono mgombea wa urais kupitia chama cha democrats Joe Biden katika uchaguzi wa Marekani mwezi ujao.Wakati wa mazungumzo ya video ya moja kwa moja wawili hao wamesema wanataka kuungana pamoja na kukabiliana na maradhi ya covid -19 pamoja na kuinua tena uchumi wa taifa la marekani kwa kumchangua kiongozi anaefaa.