Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Fainali NBA: Los Angeles Lakers washinda Miami Heat
Los Angeles Lakers wamemaliza kusubiri kwa muongo mmoja kwa taji la 17 la NBA walipoishinda Miami Heat vikapu 106- kwa 93. Mara ya mwisho walishinda taji la NBA ni mwaka wa 2010, lakini ni miaka sita walioshindwa kufuzu kuwania michuano ya Play offs ilioonyesha kuwa mchezo wao ulikuwa unadorora.