Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Walemavu wa macho wapata changamoto Nigeria
Cassandra ni kijana wa kike kutoka Nigeria anaeishi na ulemavu wa macho.Anaelezea changamoto anazopitia wakati huu wa janaga la corona hasa katika masomo.Amesema ni wakati sasa watu wanaoishi na ulemavu kusaidika ipasavyo nchini Nigeria.