Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je, Microsoft kununua Tik Tok itaupunguzia masaibu?
Kampuni kubwa ya teknolojia nchini Marekani ya Microsoft imethibitisha kuwa inaendelea na mazungumzo ya kununua program ya Tik Tok inayomilikiwa na China.Afisa mkuu wa Microsoft Satya Nadella amesema alifanya kikao na Rais Donald Trump kuhusu hatua hiyo hapo jana Jumapili.Sema nasi BBCSwahili.