Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Hukumu ya kifo kuanza tena Texas Marekani
Jimbo la Texas nchini Marekani limeamua kuanza tena kutekeleza hukumu ya kifo baada ya kuisimamisha hukumu hiyo kwa miezi mitano kufuati janga la corona. mtu wa kwanza atakua billy joe wardlow, anaekabiliwa na mashtaka ya mauwaji.je unadhani ni wakati sasa wa kuondoa hukumu ya kifo?sema nasi.