Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Meneja wa lebo ya mziki ya WCB,amuomboleza mkewe
Meneja wa Diamond Platinumz ambaye ni mwanamuziki nyota nchini Tanzania,Babu Tale anamuomboleza mkewake aliefariki hapo jana nchini humo.Shammy anatarajiwa kuzikwa hii leo.Babu tale ni meneja wa muziki wa diamond ambaye amezindua kibao kipya cha Amaboko alichomshirikisha Rayvanny.