Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Corona: India kutumia mabehewa 500 ya treni kama vyumba vya wagonjwa
India kwa sasa imesema itageuza mabehewa ya treni 500 ili kutoa nafasi ya kuweka vitanda elfu 8 vya wagonjwa wa virusi vya corona . Idadi ya maambukizi imeongezeka maradufu nchini humo. Je eneo lako limeweza kudhibiti maambukizi haya? Sema nasi kwenye ukurasa wa Facebook, BBCSwahili.