Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Brazil: Kwa nini makaburi haya yamechimbwa ufuoni?
Wanaharakati wa Brazil wanaoikosoa serikali yao namna inavyoshughulikia janga la corona kwa kuchimba makaburi mia moja katika ufuo wa bahari wa Copa-cabana mjini Rio die Janeiro. Tembelea tovuti ya BBC utazame makaburi hayo yaliowekwa msalaba mweusi, na mabango kuwaomboleza zaidi ya watu elfu 40 waliofariki na maradhi ya Covid-19.