Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume
Mwanamziki kutoka Uganda Juliana Kanyomozi amejifungua mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo na kumpa jina la Taj.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, nyota huyo wa kibao maarufu cha usiende mbali alichomshirikisha bushoke kutoka Tanzania ametangaza habari hizo njema kwa kuweka picha yake na mwanawe mchanga wakiwa hospitali.