Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kuzuia maambukizi ya Covid 19 ni hatia kutembesha mbwa Afrika Kusini
Waziri wa usalama nchini Afrika Kusini Bheki Cele ametangaza mabadiliko ya uamuzi wa kuwaruhusu wamiliki wa mbwa kutembea na wanyama wao wakati wa kizuizi cha siku 21 kinachoanza kutumika Ijumaa ili kukabiliana maambulizi ya virusi vya corona. Waziri wa afya Zweli Mkhize awali Jumatano alisema kuwa watu wangeruhusiwa kukimbia na kutembea na mbwa wao, mradi wangefanya kwa uwajibikaji.