Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kasisi afariki na maambukizi ya corona
Kasisi wa kiitaliano aliyegawa kifaa chake cha kumsaidia kupumua kwa mgonjwa wa corona aliyekuwa na umri mdogo amefariki kutokana na ugonjwa huo.
Inasemekana kuwa Padre Giuseppe Berardelli, alikataa kutumia kifaa alichonunuliwa na waumini wa kanisa lake na kumpa mgonjwa mwenye corona.