Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Michezo ya Olimpiki yahairishwa rasmi
Ni wazi sasa kuwa michezo ya mwaka huu ya Olimpiki imehairishwa kulingana na mwanachama wa kamati ya kimataifa ya Olimpiki Dick Pound.
Mataifa kama vile Canada na Australia yameshajiondoa kutoka kwa mashindano hayo…