Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Eliud Kipchoge azungumzia vitabu anavyosoma
Bingwa wa michezo ya Olimpiki nchini kenya Eliud Kipchoge amezungumzia vitabu anavyosoma akiwa nyumbani kwake huku akitekeleza maagizo ya kuto kukaribiana kufuatia kuenea kwa virusi vya corona