Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamziki wa Lingala Aurlus Mabele ameaga dunia
Mwanamziki wa nyimbo za Lingala Aurlus Mabele amefariki akiwa na umri wa mika 67. Kupitia mtandao wa twitter mwanawe Mabele kwa jina Liza Monet’ amedhibitisha habari za kifo cha babake. Mabele ni mwanamziki aliyevuma sana katika sekta ya muziki, mdundo wa lingala na vibao kadhaa ikiwemo cha Loketo.