Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi
Muigizaji wa filamu ya muziki ya The High School Musical,Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kukososlewa vikali alipoweka video kwenye ukurasa wake wa Instagram akisema kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona. Mjadala uliopo mitandaoni kwa sasa ni kuwa watu wengi mashuhuri hawana uelewa kamili wa virusi hivi.