Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Michezo yapigwa marukufu kwa sababu ya corona
Waziri mkuu wa Italia Giussepe Konte atangaza marufuku ya shughuli zote za michezo nchini humo. Marufuku hio imewekwa hadi Aprili tarehe 3 kufuatia kuenea kwa virusi vya corona,hii ni pamoja na Serie A lakini sio michuano ya vilabu na mechi za timu ya taifa.