Michezo yapigwa marukufu kwa sababu ya corona

Maelezo ya sauti, Shughuli zote za michezo zapigwa marukufu kwa sababu ya corona

Waziri mkuu wa Italia Giussepe Konte atangaza marufuku ya shughuli zote za michezo nchini humo. Marufuku hio imewekwa hadi Aprili tarehe 3 kufuatia kuenea kwa virusi vya corona,hii ni pamoja na Serie A lakini sio michuano ya vilabu na mechi za timu ya taifa.