Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Albamu ya Justin Bieber ya 'Changes' yavunja rekodi kuwa namba moja
Albamu ya saba ya Justin Bieber ya Changes imeibuka nambari moja kwenye chati ya Billboard na kupiku rekodi iliyowekwa na Elvis Preseley miaka 59 iliyopita. Mwanmziki huyo kutoka Canada sasa ndiye mwanamziki mchanga Zaidi kuwahi kuwa na albamu saba zikiwa nambari moja akiwa chini ya miaka 25.