Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Barcelona yashinda Manchester United kwa mapato
Klabu ya Barcelona ndiyo iliyopata mapato mengi zaidi kuliko klabu yoyote ile barani ulaya kwa mara ya kwanza msimu huu. Klabu hiyo ya Uhispania imepata mapato ya pauni milioni 741.1. Real Madrid imeorodheshwa ya pili huku Manchester United ikiwa ya tatu.