Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nzige waliovamia wafukuzwa kwa kufyatuliwa risasi
Watu katika jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland wamefyatulia risasi kundi la nzige kujaribu kuwafukuza. Maeneo mengine yaliyoathiriwa na nzige, kama vile Ethiopia , watu wamekuwa wakipiga sufuria na vifaa vingine vya kupika kujaribu kuwatishia nzige hao. Je, ni njia ipi mwafaka ya kufukuza nzige? Tueleze kwenye ukurasa wa Facebook, wa BBCSwahili.