Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam: Serikali ya Tanzania yazungumza
Uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam: Serikali ya Tanzania yazungumza
Serikali ya Tanzania imejikuta ndani ya mjadala mzito wenye misingi ya uwekezaji katika bandari za nchi hiyo, ambazo ni moja ya rasilimali muhimu za kiuchumi, huku Mamlaka ya usimamizi wa Bandari TPA ikilazimika kutoa taarifa ya ufafanuzi kwa umma usiku wa kuamkia hii leo.
Awali nimezungumza na msemaji wa serikali ya Tanzania Gerson Msigwa kutaka kufahamu Je ni kweli kwamba kampuni ya DP World inakuja kuchukua shughuli zote za bandari nchini Tanzania?