Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Dereva wa Tanzania aeleza jinsi yeye na wenzake walivyonusurika vita Goma
Dereva wa Tanzania aeleza jinsi yeye na wenzake walivyonusurika vita Goma
Makumi ya madereva wa Lori wamekwama nchini DRC baada ya waasi wa M23 kuteka sehemu ya mji mkuu wa Goma na kusababisha barabara kuu kufungwa.
Mwandishi wa BBC Regina Mziwanda amezungumza na Mohamed Abdillah Aden ambaye ni miongoni mwa madereva wa malori ambao wamefanikiwa kuvuka mpaka na kuingia nchini Rwanda.