Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Fahamu kwanini masaji ya asili ya samaki inaaminiwa kuwa ni salama Kilimanjaro Tanzania?
Ukiacha saluni palipozoeleka Chem chem ya Chemka mkoani Kilimanjaro ni moja ya maeneo yanayovutia wenyeji na wageni wengi wanaokwenda kufanya masaji ya samaki.
Upo wasiwasi kuhusu usalama wa aina hii ya masaji. Mwandishi wa BBC Idhaa ya kiswahili, Yusuf Mazimu alikua Kilimanjaro na hii ni taarifa yake.