Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nyota Wizkid amesema kuwa tuzo haziashirii umahiri wa msanii
Nyota wa muziki wa Nigeria Wizkid kwenye mazungumzo na mwanamitindo Naomi Campbell amesema kuwa upataji tuzo haumbabaishi yeye kama msanii kwani huwa zimeekwa tu na kampuni za watu . Nyota huyo wa kibao cha Joro anasema tuzo hazielezei umahiri wa msanii na yeye ananuia muziki wake kugusa watu na hiyo ndio tuzo kuliko tuzo nyingine yoyote.