Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Manusura wa mashambulio ya tindikali Uganda wazungumza
Unaposikia taarifa kuhusu watu kushambuliwa au kumwagiwa tindikali mwilini, mara nyingi ukatili huu huhusishwa na bara Asia. Hata hivyo kuna visa vingi vya watu kushambuliwa kwa tindikali ambavyo vinaripotiwa miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki. Mwandishi wa BBC david Wafula amezungumza na baadhi ya manusuru wa mashambulio ya aina hiyo kutoka Uganda.