Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Upi utaratibu wa kuchukua kura Kenya?
Zoezi la kusajili wapiga kura linaendelea nchini Kenya, huku tume huru ya uchaguzi na mipaka ikisema haijatimiza idadi kamili iliyokadiriwa kwa wiki ya kwanza. Wanasiasa wa mirengo tofauti akiwemo Rais Uhuru Kenyatta wamekua kwenye harakati kushawishi vijana kuchukua kura. Lakini upi utaratibu wa kupata kura Kenya?