Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mbwana Sammatta 'Mchezo ulikuwa mgumu upande wetu'
BBC ilipata fursa ya kipekee ya kufanya mahojiano na mshambuliaji wa Aston Villa Mtanzania Mbwana Sammatta mara baada ya mechi ya finali ya kombe la Carabao ambapo Manchester City waliibuka washindi.
Sammatta aliifungia Aston Villa bao la pekee.