Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Beki wa Arsenal azuru Rwanda
Mchezaji nyota wa Arsenal David Luiz amefanya ziara ya siku mbili nchini Rwanda iliyomwezezesha kutembelea maeneo maarufu ya kitalii nchini humo na kujione utamaduni wa watu wa taifa hilo.
Beki huyo wa Kimataifa wa Brazil pia alitaka kujifahamisha mawili matatu kuhusu nchi hiyo na jinsi inavyojipambanua kuwa mstari wa mbele katika masuala ya kuleta mabadiliko barani Afrika.