Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
AFOTY 2017: Safari ya Salah kufikia ufanisi
Tunaangazia safari ya Mohamed Salah, mmoja wa wachezaji watano wanaoshindania tuzo ya BBC AFOTY 2017, barani Ulaya kuanzia Basel ya Uswizi hadi Liverpool ya Uingereza.
Salah anashindania tuzo hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, Naby Keïta, Sadio Mané na Victor Moses.
Mshindi atatangazwa mnamo 11 Desemba.