Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Bondia wa Tanzania anayeuza matunda
Lulu Kayage ni msichana wa Kitanzania wa umri wa miaka 24 ambae ni bondia , Lulu ameamua kuwa mjasiriamali kwa kuuza genge la matunda kutokana na kuwa mchezo wa masumbwi haulipi.
Hata hivyo licha ya mchezo kutokulimpa siku chache zijazo atapanda ulingoni nchini ya Africa ya kusini kuwania ubingwa wa Afrika uzani wa Bantam kwa kupigana na Bondia Leighandre Jegels almarufu Baby jay
Mwandishi wetu Omary Mkambara alimtembelea bondia huyu katika biashara yake na kisha kuambatana mpaka mazoezini na hii ni taarifa yake