Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matumaini ya Tanzania Olimpiki Rio
Katika michezo ya Olimpiki, wanamichezo wa Tanzania, wameshiriki mara kumi na tatu toka kushirki mara ya kwanza, lakini mara hizo zote wameambulia kutwaa medali mbili tu.
Mwandishi wetu Omary Mkambara anaangazia matumaini ya wawakilishi wa Tanzania katika michezo hiyo inayoendelea huko Rio Brazil na hii ni taarifa yake.