Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Algeria wailaza Senegal kushinda ubingwa wa Afcon 2019

Timu ya taifa ya Algeria imeilaza Senegal katika fainali za kombe la Afcon mjini Cairo

Moja kwa moja

  1. Takwimu za mechi

  2. Mechi inamalizika na Algeria ndio mabingwa wa Afrika

    Senegal imeshindwa kufunga lango la Algeria licha ya kumiliki mpira kwa miuda mrefu

  3. Senegal wanapata mkwaju wa adhabu

  4. Refa anaongeza dakika nne za ziada

  5. Algeria 1-0 Senegal

    dakika ya 89

  6. Dakika za mwisho

  7. Algeria inafanya mabadiliko mengine

  8. Jinsi wachezaji wanavyohatarisha maisha yao

  9. Algeria inafanya mabadiliko

  10. Senegal wanafanya mabadiliko

  11. Mashabiki wa Senegal wana imani hapa

  12. Sarr apiga mkwaju mzito pale lakini unapaa juu ya goli

  13. Algeria 1-0 Senegal

    Iwapo Algeria itaibuka washindi basi itakuwa wameishinda Senegal kwa mara ya pili katika mashindano haya

    Dakika 81

  14. Iwapo Senegal wataendelea na mashambulizi haya basi tutasema mengine

  15. Kocha Cisse haamini Senegal wananyimwa penalti

  16. Senegal wanafanya mashambulizi kutoka kile kona hapa

    Algeria 1-0 Senegal

    Dakika ya 69

  17. N'njeeeeeeeeeee Senegal wanakosa bao la wazi hapa

  18. Takwimu za mechi

  19. Refa wa video VAR anasema hakuna penalti

  20. Penalti