Iran bado inataka silaha ya nyuklia, Trump anasema
Rais wa Marekani anasema Iran bado inataka kuwa silaha ya nyuklia na alieleza nia hiyo wakati wa mkutano mjini Islamabad. "
Bado wanataka kuwa na sila haio, na waliliweka wazi hilo usiku uliopita. Iran kamwe haitakuwa na silaha ya nyuklia."
Trump tayari amesema mazungumzo ya moja kwa moja na Iran yalitibuka kwa sababu Tehran "haikuwa tayari kuachana na malengo yake ya nyuklia".
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi hapo awali alisema pande hizo mbili ziko "zinakaribia" kufikia makubaliano lakini Iran ilikabiliwa na " visa vya kubadilisha misimama hapa na pale".
Soma zaidi: