Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tetemeko la ardhi la Syria-Uturuki:Kamera ya CCTV yanasa picha za tetemeko lilipotokea Uturuki na Syria
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8 katika kipimo cha Richter limekumba Uturuki na Syria na kusababisha vifo vya watu wengi.
Picha za CCTV kutoka Siverek, Uturuki, zinaonyesha wakati tetemeko lilipotokea.