Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Corona: Madaktari wasema ripoti kuisaidia Tanzania kukabiliana na maradhi
Kufuatia kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ya Corona kwa Rais Samia Suluhu, mwandishi wa BBC Leonard Mubali muda mfupi uliopita amefanya mahojiano na Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania, Dokta Shadack Mwaibambe, na kwanza amemuuliza amepokeaje ripoti hiyo ya kamati maalumu kuhusiana na Covid 19?