Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Sheikh Jarrah: Eneo ambako Wayahudi hawataki Wapalestina waishi
Kutishiwa kufurushwa kwa familia kutoka kwenye nyumba zao katika eneo la Sheikh Jarrah ilikuwa mojawapo ya sababu zilizoibua makabiliano ya hivi karibuni kote Israeli na Gaza. Mali zilizopo katika eneo hili zinadaiwa na kundi la walowezi wa Kiyahudi katka mahakama za Israeli. Mahakama ya juu zaidi ya Israeli iliahirisha kusikiliza kesi. Lakini je ni upi hasa msingi wa kisheria wa madai haya?...Yossi Melber kutoka taasisi ya Chatham House ya masomo ya sera anaelezea kwa kina kesi hii