Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Daraja la watembea kwa miguu lililo refu zaidi kufunguliwa
Likiwa limepita kati ya milima yenye miamba ya Arouca nchini Ureno, daraja jipya limekuwa daraja refu zaidi duniani la watembea kwa miguu na linafunguliwa rasmi kwa Umma mnamo 3 Mei.
Ilichukua miaka miwili kujenga kwa gharama ya dola milioni 2.8.