Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Biashara ya ngono inavyowagharimu makahaba Sierra Leone
Nchini Sierra Leone, wafanyabiashara ya ngono mara nyingi huonekana kama watu wasio na maadili wanaopaswa kutengwa na kuepukwa.
BBC Africa Eye inachunguza madhila wanayopitia wafanyabiashara ya ngono nchini humo na kugundua kuwa wengi wananyanyaswa, kusafirishwa na hata kuuawa.
Na kama Tyson Conteh anavyoripoti kutoka Makeni, Kaskazini mwa Sierra Leone, maisha yao yamekuwa hatarini zaidi tangu kuibuka kwa janga la corona.