Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
BBC Africa Eye:Biashara haramu ya watoto Kenya
Mwezi uliopita, BBC Africa Eye kufichua biashara haramu ya watoto katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi. Polisi waliwakamata watu saba kwa makoa ya kusafirisha watu.
Lakini vipi kuhusu wanawake wa upande mwingine wa mikataba hii haramu? Ni nini kinachomsukuma mama kuuza mtoto wake kwa pauni 70?