Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Najma Makena: Watu hufikiria kazi ninayofanya ni ya kishetani
Najma Makena ni mwanamke wa Kisomali anayeishi Nairobi Kenya ambaye amekuwa akitengeza mapambo ya kuogofya tangu 2018.
Hatahivyo wengine wanaamini kutokana na imani yake, kazi yake ya mapambo ya kuogofya ni ya kishetani.
Hatahivyo hilo halijamzuia Najma ambaye ndoto yake ni kufanya kazi Hollywood .
Video: Emmanuel Jambo
Picha: Emmanuel Jambo
Wazalishaji: Esther Akello Ogola na Anthony Irungu