Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maafisa waliohusika na ufisadi wa mamilioni ya madola kuhusiana na vifaa vya corona Kenya kutajwa
BBC imegundua kwamba takriban maafisa 15 wa Kenya pamoja na wafanyabiashara wamependekezwa kushtakiwa kuhusiana na madai ya wizi wa mamilioni ya madola zilizotolewa kununua vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona.
Wachunguzi wamegundua jinsi zabuni za serikali zilivyotolewa kwa watu walio na uhusino wa karibu na wanasiasa na wafanyabiashara kinyume na masharti ya zabuni Kenya.
Ripoti: Emmanuel Igunza