Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Victoria Rubadiri ndiye mshindi wa tuzo ya Komla Dumor
Tuzo ya Komla Dumor ni tuzo ya uandishi wa habari iiyoanzishwa mwaka 2015 kwa heshima ya mwanahabari Komla Dumor aliyefanya kazi na BBC World News , akiwa mtangazaji wa kipindi cha Focus on Africa.
Mtazame mshindi wa sita wa tuzo hii Victoria Rubadiri kutoka nchini Kenya.